iqna

IQNA

al mustafa saw
Elimu
IQNA – Toleo la 16 la Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (SAW) limehudhuriwa na wanafunzi kutoka nchi 68.
Habari ID: 3478212    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18

TEHRAN (IQNA) – Mwakilishi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa (SAW) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema maadamu hakuna umoja halisi katikaumma wa Kiislamu basi maadui watazidi kueneza chuki dhidi ya Uislamu duniani.
Habari ID: 3474478    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/27

TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa SAW kimetoa taarifa na kulaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim al-Zakzaky na mke wake, pamoja na kuwa hali yao ya kiafya imezorota.
Habari ID: 3472285    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17

Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa SAW, tawi la Senegal, kimepanga warsha maalumu ya misingi ya tajweed na usomaji Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3470482    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/29